This is my true story

Pole sana mawazo ya Mungu s ya mwanadamu wakati wewe unawaza mtakavokuwa mnazeeka pamoja Mungu alishajua n mda gani atamchukua,hyo hyo Mungu alikufanya uzoee mapema maumivu maana yangezid zaid kama bado mgekuwa wapenzi kuna vitu Mungu anatuepusha bila sisi kujua,ko endelea kumshukuru Mungu yeye ndo anajua
 
We boya kweli man

Unamsomesha mtu huna hata mkataba nae, na biashara ukamfungulia

Wenzako huwa wanazalisha kuanzia watoto wawili ndipo mwanamke anapelekwa shule.

Hayo matatizo ulijitakia mwenyewe uache kutulikia hapa.
Jamn muacheni mwenzenu tunatofautiana kwa jinsi walivokuwa ilikuwa halali yake kufanya hayo yote
 
Yaan ukiona mwanaume yule mwenye mwanamke mmoja ujue amependa kwel sema tatizo moyo wa mtu n kichaka
 
Hilo nahis nalo lilichangia mtu anapokuwa amesoma amepata kazi kifatacho n familia sasa wakati unawaza hvo mwenzako ndo anadai kusoma tena ,hlo jambo la ww kusoma tena kuna jinsi lilimwaribu kichwa ogopa psychology kwa hyo na ww kuna namna ulichangia
 
We Mbona unakua katili kwa mtoto wa mwanamke mwenzako yaani unamcheka
 
Acha mambo ya kuweka shada la maua, utasababisha awe anakutukana tu huko aliko maana hakupendi.
 
Usihudumie K kama hujaiwowa au hujaifunga iwe yako wengine wale kwa macho
 
Mshukuru mungu alifariki ungekufa ww maana kwa stress za kumwona kapendeza alaf yupo na mtu mwingine
alaf muache uboya mchumba hasomeshwi mnakwama wap
 
Wacha weee, kwa hyo ninavyokuhudumia mm ni boya
Endelea kumhudumia tu maana hata wewe heshima unataka akupe kabla haujamuoa wakati maandiko yanasema mke anatakiwa amheshimu mume na siyo mchumba ila yeye anakuheshimu wakati bado siyo mume ni mchumba kwahiyo na wewe endelea kumhudumia tu mkuu
 
sijamaliza kusoma..paragrafu ya pili tu nimegundua ni yale yale..MCHUMBA HASOMESHWI.
 
Pole mkuu, ilikuwa inatakiwa anapomaliza diploma namimba awe nayo changa, ULIBUGI SANA KAMANDA WAZAMU
 
Pole Sana ila inabidi u let it go don't go to her grave delete all necessary reminder of her. Haikua liziki yako hiyo. Mungu hakukupangia wewe na Janet muwe mke na mme. Ila yupo mkeo ambaye Mola amekupangia lakini wewe ndio kikwazo .God is waiting for u to finish ur mourning ili akukutanishe na mkeo halisi ambaye mtatengeneza future together. Stop crying standup and move on.
 
Hii nkiandika movie lzima itauza sana,it's too emotional,pole lakini.
 
Mimi mke wangu simwamini na huwa namwambia kabisaa sijawahi kumwamini mtu wa aina yake katika maisha yangu...kwa hiyo anakaa mguu ndani mguu nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…