This is Msamvu bus terminal stand Morogoro

Tena kinachuma zaidi kutoza watu TSH 300 bila sababu za msingi, ile stand ilishavunjwa hakuna huduma za kijamii kwanini walivunja kabla hiyo mpya haijakamilika? Kwanini bado wanatoza ushuru? Nilidhani jiji likiwa chini ya ukawa hii kero itatatuliwa lkn wapi hakuna anaejali.
 
Du kidogo imefanana na Victoria bus terminal
Hongera sana
Ingepigwa picha kwa ndani pia kwenye office za tickets
 
Mleta mada ukishaweka neno Terminal huweki tena neno Stand.
 
Hii inaweza kuwa stand bora tanzania
 
Mkuu jana usiku si ulikuwa unatafuta mwanamke wa hapo?
 
Unataka spoon feeding? Wewe ni mtoto chini ya miaka 5 endelea kukua zaidi
Spoon feeding ndio nini mkuu? Nilichoomba ni kuwekewa picha ya stand ya Tanga ili ku support hoja yako kama ulivyosema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…