Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Au unaogopa pua yako kubwa?? Nakumbuka mama yako alivyomwambia baba yako according to your story kwamba aangalie mpua wake na wako hahaaaaa
Jambo zuri. Hakikisha huyo mrembo anakuwa in a line.ni desturi ya wanaojua kukaa kimya, sijui kwanini iko hivi!...... ndio mana nikasema laiti kila kijana angekua na mentor wake jamii hii ingebadilika kwa kiasi kikubwa sana!
ngoja mimi nijitolee kuwa mentor wa Saint Anne ,
Nashkuru sana chief. I appreciate you.Nazidi kukukubali mkuu Analyse ni mmoja wa watu wenye Talent ya uandishi humu JF so far. Na mkuu konda msafi
Au unaogopa pua yako kubwa?? Nakumbuka mama yako alivyomwambia baba yako according to your story kwamba aangalie mpua wake na wako hahaaaaa
imeisha hiyo, nitahakikisha anapata dozi ya kutosha, pilau inaliwa, na tunamuaga mchana kweupe!Jambo zuri. Hakikisha huyo mrembo anakuwa in a line.
A wapiPunguza uvivu. Now ushapata mentor, inabidi akubadilishe hii tabia ya uvivu
una haki ya kujiita Mchanya........ napenda sana mtu anaewaza positive siku zote!
labda kwa kuongezea, watu wanaingia kwenye mahusiano na too much expectation bila kuweka juhudi zao ili kuyafanya mahusiano yao yawe bora!.....
lkn pia kuna tatizo la kutoridhika, mtu akiona ndoa flani imesimama anajua labda ni kwa sababu wana match or ni soulmate and whatever, wakati uhalisia ni watu wameridhika na hali zao, hivyo wamewekeza nguvu na juhudi katika kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo!......
lastly, hatuna mentors kwenye maeneo mengi ya kimaisha including relationships, na hili ni janga kubwa sana mpaka makanisani (kwetu sisi watu wa church)...... mtu anakua yupo yupo tu inafikia hatua anafanya maamuzi hana mtu wa kumwomba ushauri, very sad!.....
Heaven Sent atamalizia......
Thank you too brohNimeelewa sana part ya mwisho apo
"KUTESEKA AU KUISHI KWA TABU LEO HAIMAANISHI HUKO MBELENI NDIO MAMBO YATAKAA SAWA THEN UTAISHI KWA RAHA. Usipokuwa makini unaweza ishi kwa msoto hadi ile siku unaaga. Uvumilivu unamipaka, ila umakini ni nguzo"
Thank you bro...
Hee mwanafunzi umeanza kuonesha ubishi mapema hivi?
Haliwezi kutoka.Itabidi tulikemee pepo la uvivu
sasa ukiwa iddle unautumiaje muda wako?
Kusoma story hadi mwisho na kuangalia movie ni vitu ambavyo vilishashindikana maishani mwangu.
ondoa shaka, atabadilishwa tuNikiona ana misbehave tu, lawama zitarudi kwako mentor wake
Nasikiliza muziki aisee na kulala.sasa ukiwa iddle unautumiaje muda wako?