Thechef_kidzone

Thechef_kidzone

beibishaa

Member
Joined
Apr 9, 2020
Posts
21
Reaction score
34
Habari za asubuhi.
Instagram account: thechef_kidzone.

Ni restaurant yenye mandhari ya nyumbani na good for family, tunapokea orders za shughuli ndogo ndogo zisizozidi watu 100, kama birthdays, meeting's etc... ni mahali ambapo kuna michezo midogo midogo ya watoto, ya kumpa mtoto happiness ajisikie yupo nyumbani, kuna huduwa ya parking kwa wateja wetu, mnakaribishwa sana.

Location: kinyerezi mbuyuni
Kwa mawasiliano hii ni namba yetu ya ofisi: 0684101707
Pia tunafanya delivery ya chakula

Tunapokea bookings za nafasi ya shughuli ndogo ndogo kama birthdays meeting's etc..
20200615_130848.jpg
 
Back
Top Bottom