Hii mimi huwa najiuliza sana na kutafuta kwenye mitandao lakini sababu zao sikuziona ni zenye mantiki. Kwa sababu ipi wanazuia watu kwenda Antarctica?Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare
Sent using Jamii Forums mobile app
Gravity wanaielezea hivi
Kwakuwa upo Kwenye flat disc inaaccelerate upwards with an acceleration of 9.8m/s2. Hii inatengeneza illusion ya kuwa unavutwa chini Kumbe earth ndo inaenda juuAlthough kusema ukweli HAKUNA tofauti ya muokota makopo Milembe na flat earther
Flat earthers wengi hata hawaamini flat earth lakini ni clout chasers tu
Hii mimi huwa najiuliza sana na kutafuta kwenye mitandao lakini sababu zao sikuziona ni zenye mantiki. Kwa sababu ipi wanazuia watu kwenda Antarctica?
Kuna video moja ilionyesha hili ilichukuliwa na mabaharia sijui ni wa nchi gani. Walionyesha vilevile mwezi ukionekana mpevu na mkubwa na upande mwengine kwa mbali kabisa nalo Jua likionekana ile umefika kwenye bahari yenyewe huoni chochote si mbele wala nyuma si kulia wala kushoto zaidi ya maji tu.Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unitumie Mkuu.Mkuu unataka kitabu ninacho internet wamefuta documents nyingi za flat earth na sasahivi ukituma video kuhusu flat earth unapigwa ban youtube hawataki kabisa watu wajue ukweli wa ulimwengu wao wanawalisha miziki,migames na movies kila siku ndani ya ubongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu ,watu wamekuwa watumwa,mimi nilisoma science mpaka chuo ila namshukuru Mungu ufahamu wangu ulipenda sana kuhoji because am SKEPTICAL ikanifungua mengi sana sasa hivi sina hata wasiwasi kama nilivyokuwa kwenye ulimwengu wa dunia inayozunguka jua zaidi ya speed ya mwanga.kumbe ni michezo ya nasa.Kuna video moja ilionyesha hili ilichukuliwa na mabaharia sijui ni wa nchi gani. Walionyesha vilevile mwezi ukionekana mpevu na mkubwa na upande mwengine kwa mbali kabisa nalo Jua likionekana ile umefika kwenye bahari yenyewe huoni chochote si mbele wala nyuma si kulia wala kushoto zaidi ya maji tu.
Upande wa Jua wingu likiwa na mwanga huku upande wa mwezi ukiwa na mwanga kidogo (giza kiasi). Jua na Mwezi vilionekana sawa na clip uliyoiweka inayoonyesha Jua na mwezi zikiizunguka Dunia. Nilishangaa sana!
Hiki hapaView attachment bd8cd059511cea642a3d27fdb3a803a6fbb5.pdfNaomba unitumie Mkuu.
April fool watu wameianza mapema sana mwaka huu tofauti na miaka mingineSasa wakuu nyie mmesoma hizo nadharia, full of conspirancy bila kufanya uchunguzi wenu binafsi😃😃.Kina Armstrong wameenda nje ya dunia wameipiga picha,sattelite zinaenda juu zinapiga picha kitunkinatoka cha duara, nyie mnataka kutufundisha nini sasa?😃😃😃. Watu wa meditation wamegonga meditation zao wanaona ni ya mfano wa mviringo pia, kina Gallilei Gallileo mpaka wakahukumiwa kifo kwa sababu ya kusema ukweli ngoma ni ya mfano wa duara!!Sasa wafiche tukijua kuwa iko kama meza watapoteza nini?
Nobody knowsHahah...mnajua mechanism za planet formation??
Sifa za planets mnzijua?
Ukijua basics kidogo to za astrophysics utaona kuwa flat earthers haina tofauti na wale wanaoamini kuna dunia chini ya bahari atlanters
Kaka nakubaliana na wewe hayo yote ila kwenye umbo la dunia na kinzana na wewe.Mkuu neil armstrong moja hajawahai kwenda mwezini,pili sattelite ni uzushi wanatumia underground communication cables na long tower cameras pamoja na drones,mkuu dunia sio duara nasiokuwa ni mzaha am serious jiulize why wanasayansi wanatumia straightgeometry na sio sphericalgeometry jiulize kwanini ukitumia p9 camera unaona meli iliyo umbali mrefu sana hata zaidi ya mile 70 kukiwa na low humidity hakuna curve mkuu sema nikupe lengo lao kwanini wamedanganya mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kwanini unaweka "Mathematical Calculations" kama kigezo,kuna hesabu za kisayansi ambazo zina uhalisia nje ya makaratasi ?- Mna mathematical calulations zozote zinazo sapoti concept yenu?
Mkuu sasahivi tanzania tupo upside down halafu dunia inazunguka kwa kasi sana yani astrophysics imetusaidia mnoHahah...mnajua mechanism za planet formation??
Sifa za planets mnzijua?
Ukijua basics kidogo to za astrophysics utaona kuwa flat earthers haina tofauti na wale wanaoamini kuna dunia chini ya bahari atlanters