Bob; Hivi weye ulichokimbilia ni kuangalia mapaja? Baba yao hajawaambia kuwa hiyo nguo ni fupi watajuaje?? Miguu ka inaruhusu waache wavae. Miye nimewapenda bure tuu
Bob; Hivi weye ulichokimbilia ni kuangalia mapaja? Baba yao hajawaambia kuwa hiyo nguo ni fupi watajuaje?? Miguu ka inaruhusu waache wavae. Miye nimewapenda bure tuu
Wakuu sijaandika kwa ubaya, ila kwa heshima ya white house ingebidi angalau wajisitiri na nguo ndefu hata ifike magotini. Ni mtazamo tu si lazima tuwe na mawazo sawa.
Wakuu sijaandika kwa ubaya, ila kwa heshima ya white house ingebidi angalau wajisitiri na nguo ndefu hata ifike magotini. Ni mtazamo tu si lazima tuwe na mawazo sawa.
Wakuu sijaandika kwa ubaya, ila kwa heshima ya white house ingebidi angalau wajisitiri na nguo ndefu hata ifike magotini. Ni mtazamo tu si lazima tuwe na mawazo sawa.
Niliwahi kumuuliza mwanamke wa kithungu sababu ya kupenda kuvaa nguo fupi yaani mapaja nje, akanijibu huku akitabasamu, "Mavazi haya yanatufanya tunakuwa wepesi hata tunapotembea hatuchoki haraka"
Majibu yale yalinifanya nikacheka saaana, kisha nikamwambia huku bado nacheka "ipo siku utavua na ch,,,pi utasingizia inakutia uzito. na yeye akacheka saaana.