UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 10,045
- 9,343
Mkuu, pamoja na kwamba ni mambo ya kiuchumi yanayoongelewa, lakini kinachogomba hapo kwa sasa ni siasa tu. Republican wanatamani sera zao ndo zifuatwe na rais kutoka Democrats, na Democrats wanasema haiwezekani.
Marekani haiwezi kufilisika kwa kwa serikali kunyimwa ruhusa ya kukopa. Vyama vyote vinajua kukitokea matatizo ya kuanguka kwa uchumi basi waliosababisha wataadhibiwa kwenye uchaguzi, kwa hiyo hakuna anayeweza kujitafutia adhabu.
Wamarekani wanajua wanachofanya, siyo sawa na bongo yetu.
Marekani haiwezi kufilisika kwa kwa serikali kunyimwa ruhusa ya kukopa. Vyama vyote vinajua kukitokea matatizo ya kuanguka kwa uchumi basi waliosababisha wataadhibiwa kwenye uchaguzi, kwa hiyo hakuna anayeweza kujitafutia adhabu.
Wamarekani wanajua wanachofanya, siyo sawa na bongo yetu.