The Revolution Has Started in Kenya.. Electronic Hardware Company Thriving in Nairobi

kennedy0000

JF-Expert Member
Apr 14, 2012
4,316
3,683
Huku majirani wakingoja serikali iwafanyie, nafurahi kuripoti kwamba Kenya revolution imeanza.

Wave ambayo inatoa China na India kutoka umaskini imefika hapa Kenya. The 3rd wave.

It is not the government or FDI, but many local entrepreneurial individuals doing many small but great things, that will change the country.

Nafurahi kwamba innovators wa Kenya wameanza kwenda the extra mile, getting financing and building world-class facilities.

Ndio huyu mmoja anatengeneza speed governors, GPS trackers na fleet management hardware hapa hapa Nairobi. Bila msaada wa serikali.



simba.JPG
 
unachekesha Sana bwana mdogo, huku TZ ni mambo ya kawaida sana, mfano Mdogo rais magufuli alikutana na wabunifu wadogo wa umeme ikulu, dar es salaam 13june 2019, ambao walizalisha umeme wao toka miaka 1980
 
unachekesha Sana bwana mdogo, huku TZ ni mambo ya kawaida sana, mfano Mdogo rais magufuli alikutana na wabunifu wadogo wa umeme ikulu, dar es salaam 13june 2019, ambao walizalisha umeme wao toka miaka 1980
nyinyi mnapenda jokes sana...
 
unachekesha Sana bwana mdogo, huku TZ ni mambo ya kawaida sana, mfano Mdogo rais magufuli alikutana na wabunifu wadogo wa umeme ikulu, dar es salaam 13june 2019, ambao walizalisha umeme wao toka miaka 1980
Acha kuwa mcheshi kakangu
 
unachekesha Sana bwana mdogo, huku TZ ni mambo ya kawaida sana, mfano Mdogo rais magufuli alikutana na wabunifu wadogo wa umeme ikulu, dar es salaam 13june 2019, ambao walizalisha umeme wao toka miaka 1980


!
!
Wakati Dunia Inaenda Mbele Hawa Wanarudi Nyuma. Watu Wanaelwkea Umeme Wa Nyuklia Sisi Tunabuni Mitambo Ya Kufua Umeme Kwa Maji. #repetition
 
Safi sana, Kenya huanzisha na huandaa njia ambayo wengine wanaitumia baadaye ila baada ya kutununia sana.
 
!
!
Wakati Dunia Inaenda Mbele Hawa Wanarudi Nyuma. Watu Wanaelwkea Umeme Wa Nyuklia Sisi Tunabuni Mitambo Ya Kufua Umeme Kwa Maji. #repetition
Who lied to you that nunclear is the future? This nuclear is very limited compare to renewable sources like geothermal, Solar,Water for your informations these non renewable sources are perishable and cant no longer be the future of world energy, Solar is the future and other renewable sources
 
BTW
Who lied to you that nunclear is the future? This nuclear is very limited compare to renewable sources like geothermal, Solar,Water for your informations these non renewable sources are perishable and cant no longer be the future of world energy, Solar is the future and other renewable sources
BTW watu wana elekea kwenye green energy, nuclear is so hard to contain. Na ina leta cancer
 
unachekesha Sana bwana mdogo, huku TZ ni mambo ya kawaida sana, mfano Mdogo rais magufuli alikutana na wabunifu wadogo wa umeme ikulu, dar es salaam 13june 2019, ambao walizalisha umeme wao toka miaka 1980

Shithole LDC.
Kila siku Magufuli. Signs of fascism.

Shindeni hapo na mambo Kenya ilifanya 1960s. Hapa tunasonga.
 
Who lied to you that nunclear is the future? This nuclear is very limited compare to renewable sources like geothermal, Solar,Water for your informations these non renewable sources are perishable and cant no longer be the future of world energy, Solar is the future and other renewable sources


!
!
Uko Sahihi Mkuu. Sahihi Sana.
 
Morris Mbetsa is a genius. Kuna ile passenger drone alikuwa anaunda, sijui kuliendaje.
 
Back
Top Bottom