Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,597
- 46,210
Kwa nini hao wazungu pia wamepatwa na huo ugonjwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sayansi ya kutengeneza a viral disease for a specific race ipo.Hiyo ni genetic engineering tu,you map you genome,you edit and insert.It is simple sayansi.Tokeni kwenye zama za zamani ambapo tuliaminishwa kwamba kila ugonjwa kaleta Mungu,that is not the case anymore.
Sent using Jamii Forums mobile app