The Most Influential Persons in History

Yumkini hukusoma angalau sura ya utangulizi ya hicho kitabu au hukuelewa iwapo umesoma.
 
Vigezo vilivyotumika kupanga wa kwanza hadi wa mwisho vinatia shaka
 
Plato ni msomi wa kigiriki alikuwa anatembea na chemli mchana wa jua kali, huyo sio mroma Pilato aliyetoa hukumu ya Masiha.
Kitendo cha kutembea mchana na chemli hakikua routine ban...kumbuka kua alifanya vile ili ku prove kubusu ukweli.
 
Inamaana babu zetu wenye sayansi ya kuruka angani dar to mwanza kwa dakika kadhaa hawamo kwenye hiyo orodha....
 
Lakini bado tunaruhusu tafiti zingine zinazopinga utafiti huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…