Kiranga,Nilipata tabu mara moja niliposema Nyerere si Mtanzania wa kwanza kusoma Uingereza, Hamza Mwapachu alimtangulia. By the time Nyerere anaenda, Mwapachu alikuwa kasharudi Tanganyika. Na kwa kweli Nyerere alipewa barua za utambulisho na Mwapachu. Hii ni sababu moja iliyomfanya Nyerere kujiunga na Fabian society iliyomjenga zaidi katika imani yake ya Ujamaa.
Mzee Mwapachu alikuwa na sehemu kubwa katika kumuandalia Nyerere network ya marafiki Uingereza.
Historia hii isitumike kwa watoto na wajukuu kujiona
ni 'the elite and the entitled rulers of their fellow Tanzanians'.......
Baba yao for whatever reason......haalalishi wao kujifanya 'wana haki ya uongozi kupita wengine nchini'
Hapana, si hao hao. Kosa la rafiki, ndugu, mtoto, baba, mama, shangazi yako si lako.
Tusiwe wachovu wa kufikiri. Hata muwe mapacha wacha Mwapachu, mmoja akifanya kosa hahukumiwi mwingine.
Nilipata tabu mara moja niliposema Nyerere si Mtanzania wa kwanza kusoma Uingereza, Hamza Mwapachu alimtangulia. By the time Nyerere anaenda, Mwapachu alikuwa kasharudi Tanganyika. Na kwa kweli Nyerere alipewa barua za utambulisho na Mwapachu. Hii ni sababu moja iliyomfanya Nyerere kujiunga na Fabian society iliyomjenga zaidi katika imani yake ya Ujamaa.
Mzee Mwapachu alikuwa na sehemu kubwa katika kumuandalia Nyerere network ya marafiki Uingereza.[/QUOTE
Correction ,Kijana Mwapachu kwani hakuufikia uzee wakati anafariki in short ni mmohawapo wa mababu waliokuwa vijana maisha yao yote!
Correction ,Kijana Mwapachu kwani hakuufikia uzee wakati anafariki in short ni mmohawapo wa mababu waliokuwa vijana maisha yao yote!
You can't fight the second law of thermodynamics, kwetu uzee ni heshima na si kitu cha kukimbiwa.
Mimi naongea from the perspective of my age, which makes me like a grandson or among the very last sons, so muhenga wako hata kama alifikwa umauti utotoni bado ni muhenga kwako, kwa msingi huu.
Calm down Kiranga! was trying being funny silly me, no ill meaning intended friend!we cool?
Calm down Kiranga! was trying being funny silly me, no ill meaning intended friend!we cool?
Nilipata tabu mara moja niliposema Nyerere si Mtanzania wa kwanza kusoma Uingereza, Hamza Mwapachu alimtangulia. By the time Nyerere anaenda, Mwapachu alikuwa kasharudi Tanganyika. Na kwa kweli Nyerere alipewa barua za utambulisho na Mwapachu. Hii ni sababu moja iliyomfanya Nyerere kujiunga na Fabian society iliyomjenga zaidi katika imani yake ya Ujamaa.
Mzee Mwapachu alikuwa na sehemu kubwa katika kumuandalia Nyerere network ya marafiki Uingereza.
VP mkuu miaka 8 sasa,umefikia wapi?Ngoja na mie nizichange vizuri, 50 yrs after my death wajukuu na vitukuu waongee with pride of being my descendants. Oh God help me
What did you have in mind to say something like this? This is a reminder to everybody that one gets the merit to hold a position through his or her own means and efforts.Historia hii isitumike kwa watoto na wajukuu kujiona
ni 'the elite and the entitled rulers of their fellow Tanzanians'.......
Baba yao for whatever reason......haalalishi wao kujifanya 'wana haki ya uongozi kupita wengine nchini'
Interesting history!What a GOOD Politician/Medical Admin
He Educated all of his KIDS then... During Colonial Days... What a role MODEL...
These hard working and intelligent Tanganyikans were educated and trained by colonialists (mabeberu to CCM) before Independence, what went wrong to find ourselves in a Tanzania of poor education, poor training, lazy workers, corrupt leaders, etc? The remaining few have a lot to tell!Interesting! This country is a product of hard sweaty work done by the few hard working and intelligent men!
Big respect!