The Great Question Of The Day

The Great Question Of The Day

Joined
May 3, 2012
Posts
73
Reaction score
37
Upinzani Siku Zote Huwa Wakishindwa Chaguzi Hawana Tatizo, Wanakubali Matokeo na Wanakuja Kumpongeza Rais Wa Chama Tawala Wakati Wa Kuapishwa Kwake Na Maisha Huendelea Tena Kwa Amani Kubwa tu.

Swali Ninalojiuliza Ni Kuwa
Je Ikitokea Upinzani Ukashinda, Je Hao Chama tawala Watakubali Kutoka Madarakani Kwa Hiari?
 
Back
Top Bottom