The future: "mobile web" au "mobile app"!?

The future: "mobile web" au "mobile app"!?

mdeesingano

Member
Joined
Aug 12, 2008
Posts
64
Reaction score
19
Kwa sasa kasi kubwa ni katika kuhamia mobile web na mobile app vitu ambavyo ni viwili tofauti ingawa all in all kazi yao ni moja tu sharing information!

Je, kwa bongo trend yetu kwa sasa ipo wapi zaidi!? kipi bomba zaidi!? Kipi kipo implemented zaidi hapa bongo!?
 
Kwa sasa kasi kubwa ni katika kuhamia mobile web na mobile app vitu ambavyo ni viwili tofauti ingawa all in all kazi yao ni moja tu sharing information!

Je, kwa bongo trend yetu kwa sasa ipo wapi zaidi!? kipi bomba zaidi!? Kipi kipo implemented zaidi hapa bongo!?

Sijakukuelewa bado
 
sisi bado sana huko kaka. we are not at the mobile we are still sitting neither mobile nor motile ...........:biggrin1:
 
@yusufmzee... Ila kumbuka asilimia kubwa ya watu hapa JF wanawasiliana kwa mobile na posts nyingi zinachangiwa via mobile!
 
@mtazamaji... Nataka kujua kipi kipo more implemented ana kipi ni zaidi hapa bongo kati ya "mobile web" na "mobile app"
 
Back
Top Bottom