The flamboyant Lowassa

Watu wana masikio, wana macho, na wanaufahamu wa kutosha kumaizi mambo ya kisiasa na kiuchumi yanayotokea nchini kila uchao, kiasi cha kuwafanya wakate shauri kuhusu hatma ya uongozi wa nchi yao...tuwe na subira wakati muda huo utakapowadia! Vionginevyo hayo mavuvuzera ya kupigiana upatu ni km kupitisha wakati tu! Kudanganyika mara moja ni bahati mbaya, mara mbili ni ujinga, mara tatu ni kujitakia!
 
This is unbelievable... we r witnessing story in the making! Laingwan is proving to be unabandoned wagon within the CCM rankings towards the ultimate coronation!
Geza,
Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa Mungu linawezekana!.

Mwana wa Adamu Alikuja kwa ajili ya waliopotea na sio kwa ajili ya watakatifu!.
Tena akahimiza "wote wenye mizigo waje kwangu nitawapumzisha!"

Wakuu wa kanisa wanapaswa kutenda kama mkuu wao kuwakumbatia wasio wakamilifu ili kuwatakasa!.

Na mwisho nasisitiza, " JIWE WALILOLIKATAA WAASHI LITAFANYWA KUWA JIWE KUU LA PEMBENI!".
 

You bet, nothing is impossible to God! na vile hatujui kila mtu anawasiliana vipi na Mungu hakuna mwenye haki ya kumrushia mwenzie jiwe.
 


This is unbelievable... we r witnessing story in the making! Laingwan is proving to be unabandoned wagon within the CCM rankings towards the ultimate coronation!

Credit: michuzi-matukio.blogspot.de

Hapo ilikuwa Ifakara kwenye ufunguzi wa Jimbo jipya la Ifakara.Alisema kuwa atachangia harambe ya Jimbo hilo jipya pale watakavyo hamua kufanya hivyo.Lakini mzee kachoka na akitembea anatetemeka miguu na mikono.
 
Inanishangaza tunapoanza kutumia maandiko kutetea hoja zilizo wazi, tukiamua kumhusisha yesu na suala la ujio wake duniani tunaingia katika mambo ya imani ila suala la lowasa halihusiani na mambo ya kiimani ila uadilifu wake kwenye jamii na vipi jamii inamchukulia! Unaweza kutujuza kwanini amekuwa na kasi ya kuhudhuria matukio ya kikanisa kama lengo lake si kukijenga upya kivuli chake ndani ya jamii? Najua maisha ni magumu lakini usikubali kutumia fikra za mtu mwingine ndani ya kichwa chako ili ukidhi kupata mkate wa kesho! Ingekuwa ni nyakati za kina chifu mangungo akiwa ungeweza kujiuza hata utumwani weye.
 

What should they do if cant beat him?
 
Lowasa is everthing within ccm na si vinginevo,hata JK anajua hilo,long live Lowasa.
 
Hongera Mh Lowasa

unakubarika na jamii ndio maana kila kukicha jina lako linatajwa mahali popote pale

JF,WANABIDI,MABADILIKO,FAHAMU,MAKANISANI NA MISIKITINI

Hakika jamii ina imani nawe
 

Hayupo wa kutoa orodha ya makosa.
 
Hawezi kutubu tu kirahisirahisi alafu asamehewe lazima aturudishie hela zetu.
Hata watu wote wakimsamehe mimi zakwangu lazima arudishe tena mara tatu.
Haiwezekani si tuteseke alafu yeye aseme ameshatubu.
 
mh...ila ukitazama muda tunayotumia kumjadili...iwe kwa mabaya au kwa mazuri..kwangu nikumpandisha chat..na kawaida binadamu akizoea kuona kitu mara kwa mara au kukisikia ..anaweza kuamini..isije akaja kuaminiwa na wananchi...

nataka niingie pale synovate nikaone..huyu jamaa toka mwaka huu umeanza kaandikwa mara ngapi katika mitandao na magazeti..ikiwemo na picha ambazo kapigwa na kutolewa..kuanzia Front Page hadi page za ndani...nia nikuona ni mileage ngapi jamaa anaipata iwe
1.kwa siku ...2..kwa wiki...3..kwa mwezi...
 
Proof please!!!!
 
Red ndo jibu!
 

mine below is an old argument lakini there's no harm repeating it here...

ninajua watu lukuki hapa mjini (na wewe unayesoma post hii nimekuhesabu) mishahara yao haizidi hata 1M kwa mwezi na wakati huo huo hawana biashara nyingine yoyote lakini wanasomesha watoto wao feza, etc na wanaishi so lavishly. na wengine huwa wanachanga sana huko huko makanisani kwa hela hizo hizo.
now, can you explain this? if you can, then go after EL and justify the criteria you have used to rank him (in red above)......or else shove it!

kwa vile wewe ni mkristo kama mimi, acha turudi kwenye maandiko matakatifu.

Mathayo 7:3 inasomeka hivi:
"Why do you look at the speck of sawdust in your brother's eye and pay no attention to the plank in your own eye?".
this bible quote is self-explanatory...sina haja ya kufafanua.

kwenye Yohana 8:3-5 kuna swali ameulizwa mwalimu Yesu:
"The teachers of the law and the Pharisees brought in a woman caught in adultery. They made her stand before the group and said to Jesus, 'Teacher, this woman was caught in the act of adultery. In the Law Moses commanded us to stone such women. Now what do you say?'"

embu soma hapa chini mwalimu Yesu alivyotoa jibu kwa swali hilo hapo juu (Yohana 8:7):
......."Let any one of you who is without sin be the first to throw a stone at her."
again, self explnatory.

mimi simtetei EL. lakini pia siyo fair kabisa kwa EL kuhukumiwa na watu ambao wana dhambi sawa na (au hata kumzidi) yeye. only nyerere did it, and rigthly so!
 
Duh, kweli pesa ilimsaliti hata Bw Yesu. Tazama Bw Pengo alivyokenua hadi gego la mwisho. Sijui hiyo hundi kibindoni itakuwa ya milioni ngapi!
 
nime givu up-Lowassa chukua nchi
Do not give up so easily. Zaidi ya 60% ya wapigakura 2015 watakuwa group ambayo ushawishi wa watu kama Pengo kwao ni minimal. Hizi nyimbo za Lowasa na ajira kwa vijana hazitamsaidia sana. Mwache aendelee kumwaga pesa, mwisho wa siku atakapokosa anachotafuta ataambulia mshituko wa moyo.
 
Mtoa mada umejaa mahaba yasiyo kifani kwa EL,, yaani mpaka unatia kinyaa kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…