The First Debate: Mitt Romney's Five Biggest Lies

Sounds real gud.! Give a fool enough rope
 
yes mkuu

but you can undress the liar kama umefanya homework yako

I did my homework and the empirical evidences are clear that Romney lied and changes his position. Note: This other lie; Romney said the job rate is above 8% while in fact the job rate is lesser than that; See exhibit US jobless rate falls to 7.8 pct., 44-month low - Yahoo! Finance. Do you see who is the LIAR? American people goes by facts and not mambo jambo.

Romney is the liar, that is why the pool still shows Obama is up 7% country wide.
 
Obama kazi anayo,ni ngumu sana kwake kutetea kiti katika crisis kama hii,Amuulize Sarkozy
 

Thanks for the post. Excellent post.
 
At-least big bird never lied to me . If he said A it was A.
 
Obama kapata kipigo kwenye debate ya kwanza tuache ubishi, debates are not about facts, haya mambo ya kutafuta facts baada ya debates ni kumtafutia visingizio Obama, Obama alionekana dhaifu na hakuwa teyari kwa uwezo wa Romney kwenye debate.

Obama hajawahi kuwa mzuri wa maongezi yoyote ya papo kwa hapo hata kwenye Q&A anakuwa ana pause kubwa wakati wa kujielezea, Obama ni mzuri wa kudeliver speech (na labda kuandika) tena lazima awe na teleprompter pembeni hii ni skill tofauti na kudebate, nadhani debate za 2008 na McCain ambaye ni mzee sana na ile Obama hysteria ya wakati ule zilimfanya Obama aonekane mkali kuliko alivyo.

Kwenye debates hizi atapata shida sana maana Romney ni rahisi zaidi kukwepa mashambulizi maana hajajiweka kwenye specific positions zozote, pia Romney ni kichwa tupende tusipende alipata double Masters degree akiwa Harvard, kazi anayo kwenye debates.

Ila kama debates zitabadili kura hilo ni swali tofauti sana.
 
I am very impressed that a high-school age student wrote such a well organized an well thought out essay. It is organized, clever, thoughtful, and honest.

Another quote from Willard that I have not seen anyone comment on so far was something like "You have to have regulation to have a free market". Anyone want to guess what that means?
 
Mitt the LIAR. It is hard to debate with the liar and Big Birds hater.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…