So Lissu ni muhimu kuliko wewe ni mimi? Kuliko watz wanotaka maendeleo? Acha kukalili basi.. Likitokea moja hautakiwi kusimamabali kusonga mbele. Kwa hakili kama hizi za kwako ni rahisi sana mkoloni kurudi Tanzania na kutufanya watumwa afu ukaendelea kuchekelea tu. Wao wanafanyiziana afu mambo hayako kama sisi. Juzi ufaransa kafanya nini na hakuna hata neno? La Lissu waslisemea mbona la Ushoga hulisemei ama na wewe ni punga - Kama wewe ni punga usijibu uzi wangu utanitia agrrrrrrfurrrraghaaaaa