Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,995
- 82,472
Kalii sanaNitaruka nayo soon
Naam kabisa kakaHiyo movi inatakiwa uwe na flat ya high quality sio zile za joto
Naam kaka ipo hd kabisaSo equalizer 3 iko hewani,ngoja turuke nayo huko mapirates bay
Itachukua miaka mingi๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Wazee wa kitonga tunavizia memba mmoja ajitolee aitupie jamvin au Azam tv waweke kwa kiswahili [emoji41][emoji41][emoji41]
Kwa nin iwe mingi???Itachukua miaka mingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Safi sana,naruka nayo muda si mrefuNaam kaka ipo hd kabisa
Ni kalii sana ๐ฅnashukuru huu Ubusy unatufanya tusahau hii chapter 3
hizo sehemu ya kwanza na ya pili zote naweza kukusimulia hadi subtitle zile konk
๐๐๐๐๐