The Devils advocate

I don’t know what you are on about

Uwezi kuwa sahihi scientifically without enough experiment hata kwenye hiyo argument ya mgomba (you have to do enough tests for whatever you are argument to be accepted).

Mimi sina shida na academic arguments, hila nonsense ndio zinakera; mtu anaandika hoja ambazo hazina academic merit zozote halafu zinakuwa accepted huko sasa ndio kujazana ujinga.

Good morning, nita deal na hii mada baada ya kupumzika.
 
First degree inakupa fundamental knowledge of your discipline, necessary skills to perform, tasks,, ability to write an argument that’s about. Hakuna kitu kingine kipya utajifunza masters and PhD but more specialisation tu.
Elimu yetu ni copy and paste
 
Huna uwezo wa kujadili mada yangu

Subiri siku ukiandika kwenye mada utakayoanzisha nikipita nikasoma ujinga nakutwanga kwa upuuzi ndio mantiki ya huu uzi wangu kutochekea kusoma ujinga from now on .
Sasa inakuwaje unamjibu mtu asiye kuwa na uwezo?
Hala hala ndugu,pengine mie ni baba yako au mume wa mama yako.
Ahsante na karibu.
 
Elimu yetu ni copy and paste
Even if you copy and paste; the marking assessment is based on applying that knowledge.

Unaweza copy and paste on mechanics za ‘merger and acquisition. Sasa kama bank ya kilimo na wakala wa mbolea (mwenye asset value ya 700’billiion na itaendelea kupokea ruzuku of god knows how much).

Hapo sasa as an accountant inataka akili zako kuelewa how the acquired entity shares are treated in the statement of financial position maana clearly biashara inaenda kuwa ya kibenki (finance) how you will treat assets za mbolea zinazoingia bank they can’t be shares; hila serikali inahitaji marejesho (its a long story kuelezea how the government lost billions in that merger and future billion which will amount to trillions) ain’t nobody cares at heart,,that’s me.

Na huu ndio msingi wa hii thread nimesoma ujinga wa kutosha kwenye hili jukwaa imefika hatua kwa yale nayojua ni upumbavu won’t tolerate anymore for my part.
 
Hivi watanzania mshakaa mkajiuliza what happens kwa taasisi zilizokuwa zinapokea hela ya serikali kwa malengo ya kuzirudisha, hii merger zile hela zitakuwa treated vipi na zitarudi vipi.

Kama huna majibu ndio kiwango chako cha ujinga, watu watapiga mabillioni katika hii biashara ya merger and acquisition.

We are just a bunch of stupid people, tunaosindikiza mafisadi.

Watu wanaenda poteza hesabu za hasara hapo na kufungua njia rahisi ya kuchoka hela.
 
awawezi ndiyo nini
 
Ndiyo maana ya jukwaa tunashindana kwa hoja na kuelimishana usitake mawazo yako pekee tuyaheshimu pia chambua na ya wengine, maana ya hili jukwaa ni debate mkuu
 
Unaelewa maana ya "nnje ya hoja yako"!!??
 
Kesho kuna tamasha watakuwepo misomisondo karibu

Wasafi wiki ijayo watakuwa na tamasha lao pia wasanii kibao watakuwepo njoo nayo

[emoji1]

Ova
 
Unaelewa maana ya "nnje ya hoja yako"!!??
awawezi ndiyo nini
Matokeo yake mkipelekwa kwenye international tribunal inakuwa mashudu kama wale wataalamu walioshia kufanya nchi itandikwe deni la billioni 129 kwa kesi ya kushinda.

Msizoeshe vichwa vyenu kuzoea ushindi wa hoja nyepesi.

Like I stated before learn to analyse, evaluate or discuss arguments; vinginevyo unatwangwa nje ya Tanzania, kwa sababu ya kujizoesha ubishi wa mambo mepesi,
 
awawezi ndiyo nini
Haya ndio mambo yetu tuliyozoea, mahakama inatumia week nzima kujibizina ukosefu wa kujaza form; na kuna kesi zinaamuliwa kwa upuuzi huu. Oho huyu kakosea kujaza form hana kesi.

That nonsense doesn’t work in international courts, huko ni legal arguments tu za kesi husika mbele ya majaji ndio zinakupa ushlndi.

Kama nchi inabidi tujirekebishe, tusipende haya mambo mepesi mepesi the world doesn’t work that way.
 
Jibu swali awawezi ndiyo nini? Don't include each and everyone if you are not arguing with someone else please don't include,we are over or above 60m.
 
Jibu swali awawezi ndiyo nini? Don't include each and everyone if you are not arguing with someone else please don't include,we are over or above 60m.
In the context of my message how does ‘awawezi’ and. ‘hawawezi’; alter the meaning.
 
Binafsi naona msomi asiye na akili radical and selfish
 
Jamaa una majidai kama@Mayorquimby wa kwenye katuni.🙏🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha nikuulize swali unaweza leta ‘consolidated accounts’ ya hizi serikali ilizoamua kuunganisha.

Wamekupa ‘modus operands’ ya huo muungano .

Au umepewa hadithi na kusema serikali yako ina miakili mingi sana kuunganisha hizo taasisi bila ya kujali kujua huo ufananisi wa muungano unafananaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…