The country is heading to the wrong direction

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
380
763
I am just an ordinary citizen but I am obliged to tell our Hon. President that the country is heading to the wrong direction. I have few examples to support my point. (1) We have a big problem of power.

There are places where there in power for two days. (2) The problem of water. Take example of Mwanza City where the city is near the lake but it takes even a week without water. (3) Fuel prices.

The price of every services is now doubled due to the increase of prices of various goods. Hon. President you are number one citizen of this country please take charge.
 
Tumia kiswahili ofisaaa, Tanzania sio wazungu.

Kwenye point zote hizo nakubaliana na wewe.

Hapo kwenye Maji ndio kabisaa Jiji la Mwanza, sio jiji la kukosa maji kabisa wakati lipo kando kando ya ziwa kubwa Duniani. Sio tu Mwanza, inatakiwa mikoa kama Mara, Kagera, Kigoma, Rukwa, Katavi, Mbeya, na mingineyo inayopakana karibu na maziwa makuu kusiwe na shida ya Maji.
 
Tumia kiswahili ofisaaa, Tanzania sio wazungu.

Kwenye point zote hizo nakubaliana na wewe.

Hapo kwenye Maji ndio kabisaa Jiji la Mwanza, sio jiji la kukosa maji kabisa wakati lipo kando kando ya ziwa kubwa Duniani. Sio tu Mwanza, inatakiwa mikoa kama Mara, Kagera, Kigoma, Rukwa, Katavi, Mbeya, na mingineyo inayopakana karibu na maziwa makuu kusiwe na shida ya Maji.
Ameandika kwa kimombo kuwakwepa chawa wa maza
 
Back
Top Bottom