The chief financial officer of Chinese tech giant Huawei has been arrested in Canada. Meng Wanzhou, also known as Sabrina Meng, faces extradition to t

terrebranche

Member
Dec 6, 2018
13
3
The chief financial officer of Chinese tech giant Huawei has been arrested in Canada. She faces extradition to the United States.
Meng Wanzhou, also known as Sabrina Meng and Cathy Meng, was apprehended in Vancouver on December 1, according to Canadian Justice Department spokesman Ian McLeod. In addition to her role as CFO, Meng serves as deputy chairwoman of Huawei's board. She's the daughter of Huawei founder Ren Zhengfei.
https://edition.cnn.com/2018/12/05/...6T07:37:30&utm_source=twCNN&utm_medium=social
Wang.PNG
 
HUYU MAGUKWA KUKAMATA HAWA WAWEKEZAJI HADI CANADA KWA KWELI NASABABISHWA WAFANYABIIASHARA WAACHE KUWEKEZA TANZANIA..ETI.UNAMKATAMATJE HUYU KIONGOZI WA HUWAEI!!



[/QUOTE]
 
She is the daughter of the Huawei founder. Aisee kuna watu njaa huwa wanaisikiaga tu; hawajui hata inafananaje unapotaja neno njaa!
 
Chinese intelligence wamauangusha huyu mama, familia yake na Huawei kwa ujumla. They should have known it was coming. Trump hana urafiki.

Wachina tayari wamewapiga mkwara Canada kwamba wakiwezesha huyo mama kupelekwa Marekani (extradition) basi Canada iwe tayari kupokea matatizo na itawajibika.

Huawei ndo chombo chenye nguvu kubwa cha China ambacho kinahisiwa kutekeleza shughuli za kijasusi za China duniani kwa kutumia mitambo yake.
 
Canada walichoweza ni kushika ndege zetu tuu kwa Mchina hawawezi kitu huyo Dada anatoka muda wowote kwa dhamana na kurudi zake Hong Kong mkwara wa China waliompiga Mcanada ni mkubwa...
 
Ila mabeberu ni wababe bwana....

Ngoja tuone mwisho yatatokea yapi maana mchina anabweka aachiliwe huku ni week sasa yupo bado Canada hapelekwi US.
 
Wachina tayari wamewapiga mkwara Canada kwamba wakiwezesha huyo mama kupelekwa Marekani (extradition) basi Canada iwe tayari kupokea matatizo na itawajibika.

Huawei ndo chombo chenye nguvu kubwa cha China ambacho kinahisiwa kutekeleza shughuli za kijasusi za China duniani kwa kutumia mitambo yake.
Siyo mkwara ni kulaani kama kawaida tu,Wala hapelekwi US sababu siyo lengo,Lengo ni kumkamatra na kumhoji pale pale Canada.Alikamatwa kwa Order ya USA,You mess with Canada you mess with USA.
 
Anatuhumiwa na kitengo cha biashara cha marekani kwa kuuza teknolojia ya marekani kwa Iran na North Korea.Ikumbukwe kwamba huawei na ZTE ni moja ya watumiaji wakubwa wa vifaa kutoka marekani,wanavitumia katika kutengeneza vitu kama simu n.k.Mfano microprocessors zote zinazotumiwa na ZTE na Huawei ni kutoka kampuni ya Qualcom ya Marekani.
 
Anatuhumiwa na kitengo cha biashara cha marekani kwa kuuza teknolojia ya marekani kwa Iran na North Korea.Ikumbukwe kwamba huawei na ZTE ni moja ya watumiaji wakubwa wa vifaa kutoka marekani,wanavitumia katika kutengeneza vitu kama simu n.k.Mfano microprocessors zote zinazotumiwa na ZTE na Huawei ni kutoka kampuni ya Qualcom ya Marekani.
Anatuhumiwa kwa kuzidanganya Bank za HSBC na Standard Chartered Chartered Bank za UK kuhusu mahusiano ya HUAWEI na SKYCOM, kampuni iliyosajiliwa Hongkong ambayo ilikuwa ikifanya Biashara na Iran wakati wa vikwazo vya awali kwa Iran vya kuilazimisha iache urutubishaji wa nuclear.
 
Wachina tayari wamewapiga mkwara Canada kwamba wakiwezesha huyo mama kupelekwa Marekani (extradition) basi Canada iwe tayari kupokea matatizo na itawajibika.

Huawei ndo chombo chenye nguvu kubwa cha China ambacho kinahisiwa kutekeleza shughuli za kijasusi za China duniani kwa kutumia mitambo yake.

Na huo ujasusi wao ndio unaoshughurikiwa.
 
She is the daughter of the Huawei founder. Aisee kuna watu njaa huwa wanaisikiaga tu; hawajui hata inafananaje unapotaja neno njaa!

hata ceo wa toyota ni akido toyota.. grandson wa toyota founder..

kama baba yako au babu yako hajaanzisha kampuni ya ukoo.. kuna vyeo hata uwe genius vipi huwezi kuvipata..

hiyo ndio family business... mtu huawei ni ya kwao.. mtu sony au samsung ni ya kwao
 
Huyu mama haachiwi, lazima apelekwe marekani

huyu mama atasababisha mfarakano mkubwa... maana serikali ya china imewapiga mkwara canada.. na anaweza pelekwa marekani ila hatafungwa.. atarudishwa China tu..

Mataifa yenye hela yana viburi sana.. uoni saudi arabia alivyogoma kutoa report ya khashoggi wote wamekaa kimya.. ingekuwa Tanzania wangeanza mavikwazo
 
Back
Top Bottom