Nimetumia nyingi voda, airtel, tigo, zantel na TTCL, kwa hiyo naongelea uzoefu hapa, japo determinant kubwa ni network ya mahali ulipo, yaani kama inaruhusu EDGE, WCDMA au HSDPA. To me airtel is the best hasa kwa video streaming, ukipata HSDPA connection haikwami kabisa, ninaangalia hata mpira na michezo mingine kupitia DSTV kwenye laptop yangu na haikwami.
Airtel is the best am watchin uk league with my laptop safi kabisa so inategemea na aina ya mawimbi kama ni edge speed itakuwa ndogo sana kuliko hsdpa wcdma so watu wengi hawajagundua how to change from edge to hsdpa wanasema ni kutokana na mnara na mahali ulipo,mi nakataa kwani minara ni hiyo hiyo kama network ya simu inapatikana basi ya internet lazima iwepo so cha kufannya change the simcard kuna simcard nyingine zinapokea mawimbi ya edge na nyingine ni hsdpa,nimefanya uchunnguzi nikagundua simcard za zamani za zain zilikuwa zinatumia hsdpa na za sasa za airtel zinatumia edge,so tafuta line za zamani ujaribu utaniambia,edge speed ni 285kbps wakati hsdpa ni 3.6mbps yaani 12times!
Mkuu tafadhali tujuze unapataje DSTV through laptop? Nina DSTV, naangalia kawaida through TV,please explain to me how can I watch those channels by using my laptop!
Airtel is the best am watchin uk league with my laptop safi kabisa so inategemea na aina ya mawimbi kama ni edge speed itakuwa ndogo sana kuliko hsdpa wcdma so watu wengi hawajagundua how to change from edge to hsdpa wanasema ni kutokana na mnara na mahali ulipo,mi nakataa kwani minara ni hiyo hiyo kama network ya simu inapatikana basi ya internet lazima iwepo so cha kufannya change the simcard kuna simcard nyingine zinapokea mawimbi ya edge na nyingine ni hsdpa,nimefanya uchunnguzi nikagundua simcard za zamani za zain zilikuwa zinatumia hsdpa na za sasa za airtel zinatumia edge,so tafuta line za zamani ujaribu utaniambia,edge speed ni 285kbps wakati hsdpa ni 3.6mbps yaani 12times!
Nimetumia nyingi voda, airtel, tigo, zantel na TTCL, kwa hiyo naongelea uzoefu hapa, japo determinant kubwa ni network ya mahali ulipo, yaani kama inaruhusu EDGE, WCDMA au HSDPA. To me airtel is the best hasa kwa video streaming, ukipata HSDPA connection haikwami kabisa, ninaangalia hata mpira na michezo mingine kupitia DSTV kwenye laptop yangu na haikwami.