The best Antivirus

The best Antivirus

idorome

Member
Joined
Apr 19, 2012
Posts
28
Reaction score
7
Nasumbuliwa sana na virus hususani unapofungua any web zinapop up other windows na matangazo kibao mara vigames vya ajabu ajabu,nililipia Avast lakini naona hamna kitu kabisa haizuii chochote, naomba kujuzwa kwa anaejua ni Antivirus ipi nzuri hasa kwa mtumiaji wa internet kwenye computer yake. computer natumai Dell M6600. Natanguliza shukrani na nawatakia mfungo mwema
 
Sidhani kama antivirus iliyolipiwa imeshindwa kufanya kazi labda kuna vitu vifuatavyo unaweza kuvifanya
1. Hakikisha una-update antivirus iyo mara kwa mara
2. Angalia settings za browser yako kama inaruhusu pop up programs like ads halafu ubadilishe.
3. Websites unazotembelea inawezekana zinahitaji ads nyingi ili zipate hela kama sehemu ya biashara
4. Antivirus inaweza kuwa na functionality chache kwa mfano kuprotect ikiwa online tu from unwanted pop ups
Kama unalipia antivirus basi lipia inayokupa full functionalities ikiwamo ya kuprotect from online hackers.
Ni hayo tu.
 
Hzo pop ups ni matangazo ambayo yameattachiwa kwenye hyo antivirus wakat unadownload,bt u can controll them,unapodownload cku nyingine utaandikiwa option mbili wewe 2mia iliyoandikawa custom,then unayakataa hayo matangazo!nimexomeka mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom