THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN.

Dukebwoy

JF-Expert Member
May 16, 2015
223
83
Ni wazi kabisa wa Tanzania ni watu wa kupuuzia mambo ya msingi leo hii kuna hii scandal ya January Makamba kuusishwa na wizi huu wa dollar za kimarekani na watu wengi wameonesha wana uchungu na suala ili,ila pia usishangae kuona siku mbili tatu zikapita na kuona watu hawa hawa wakaridhika na hali ya mambo.




Ifike wakati wa Tanzania tuwe na misimamo ya dhati juu ya viongozi wabovu ili kuweza kujenga taifa lenye viongozi bora.Kama sakata ili la Makamba likichukua zaidi ya mwezi mmoja naamini ni wazi kabisa mh rais atalivalia njuga suala ili.




DUKEBWOY
 
kaibia serikali?,aliyeibiwa kashitaki popote?,alafu inaonekana ni mtoto wa primary,unasoma saa ngapi?,
 
Ni wazi kabisa wa Tanzania ni watu wa kupuuzia mambo ya msingi leo hii kuna hii scandal ya January Makamba kuusishwa na wizi huu wa dollar za kimarekani na watu wengi wameonesha wana uchungu na suala ili,ila pia usishangae kuona siku mbili tatu zikapita na kuona watu hawa hawa wakaridhika na hali ya mambo.




Ifike wakati wa Tanzania tuwe na misimamo ya dhati juu ya viongozi wabovu ili kuweza kujenga taifa lenye viongozi bora.Kama sakata ili la Makamba likichukua zaidi ya mwezi mmoja naamini ni wazi kabisa mh rais atalivalia njuga suala ili.




DUKEBWOY
rekebisha kichwa cha sledi kinatia ukakasi - 'a beautiful ones are not yet born' ----> 'beautiful ones are not yet born'
 
Back
Top Bottom