That's tata Museven..!

Ngoja kwanza, kwenye hiyo picha ndio wanagundua au?! Maana mpiga picha amepata na alama za mshangao wa brekingi nyuzi
 
Huu utani tu kama mwingine wowote unaoendelea Uganda, sio vzr kuwaingiza viongoz wetu wa kiroho kwenye utani wetu wa mitandaoni...[HASHTAG]#Mu7MustGo[/HASHTAG].
 
Sawa tu na huku kwetu wameongeza kustaafu miaka 60 watoto wetu wanakosa kazi yenyewe imeng'ang'ania kujisiliba masizi kichwani ili waonekane vijana hovyo sana hii ndio Africa yetu
 
I bet..Museven siku zake zinahesabika yaani b4 2020 waganda watampa habari yake
 
Ngoja na mimi nifuatilie umri wangu then nikaombe kujiunga jeshini lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…