Huu utani tu kama mwingine wowote unaoendelea Uganda, sio vzr kuwaingiza viongoz wetu wa kiroho kwenye utani wetu wa mitandaoni...[HASHTAG]#Mu7MustGo[/HASHTAG].
Sawa tu na huku kwetu wameongeza kustaafu miaka 60 watoto wetu wanakosa kazi yenyewe imeng'ang'ania kujisiliba masizi kichwani ili waonekane vijana hovyo sana hii ndio Africa yetu