Thank you, Manny Pacquao!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,646
20,982
Ni aibu kuwa mtumwa wa jambo usioliamini au kulikubali

12743503_1681487698799878_6581988508772049540_n.jpg
 
Huyo jamaa ni kiburi wa imani na amesimamia anachokiamini. Ukweli utamlinda daima na msimamo wake ni pigo kubwa kwa waliberali wanaotaka kuhalalisha kila aina ya uovu katika dunia hii.
 
Wapumbavu ni wale wanaodhani wanaweza kuiendesha dunia nzima kama wanavyoendesha familia zao
Kuna muda pesa haifai kitu linapokuja suala la utu wa mwanadamu....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom