Thank you God

Kadri siku zinavyo yoyoma ujue siku yako ya kufa inakaribia mkuu hivyo siyo kufurahia kuishi tu......ujiandae hujui uendako...nasikitika sana kupungua miaka yako ya kuishi hapa duniani........Very sad.......
 
Ni zaidi ya hapo mkuu kwani wewe unaoa wa miaka mingapi mkuu.
happy birthday mamii,

bila shaka ushagonga 26 years old, sema tulete mahari! lols..
 
Lol haya bwana heri yako wewe unamiaka mitano sasa hongera
Kadri siku zinavyo yoyoma ujue siku yako ya kufa inakaribia mkuu hivyo siyo kufurahia kuishi tu......ujiandae hujui uendako...nasikitika sana kupungua miaka yako ya kuishi hapa duniani........Very sad.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…