Kiukweli thamani ya mwanamke ni akili yake na ujuzi wa kupambanua mambo!!ukubali ama ukatae...mwanamke ndo msingi wa mafanikio katika familia.kwa uchunguzi wangu..masistaa katika mahusiano huwa hawana mipango na malengo zaidi ya kupenda starehe...wife material wengi ni wanawake watafutaji!!KUBALI AU KOSOA KWA HOJA