TFF yapiga 'stop' mchakato wa uchaguzi Stand United

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
Kutokana na mkanganyiko wa uendeshaji wa mchakato wa uchaguzi katika Klabu ya Stand United ya Shinyanga, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF), limeagiza michakato yote miwili inayoendeshwa sambamba ndani ya klabu ya Stand United, isimamishwe mara moja kisha kusubiri maelekezo mengine.
 
TFF inachelewa sana kuchukua hatua, issue ya stand united ni zaidi ya habari. Inabidi wadau wote kutoka pande mbili wasuluhishwe na pasiwe na mshindi. La sivyo mwakani hii timu itzifuata timu za tanga
 
Back
Top Bottom