Awali nilisema hivi:-
Kwa kumtuma huyo Bashite eti sijui akafanye nini huko Misri kwenye mashindano ya AFCON ndo karoga timu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, huyo Bashite ndiye anayeenda kuitia timu uvivu mwili mzima na kale kanguvu ka kupambana na Kenya kataisha. Jiwe ni scintist phylosopher anashindwa kuelewa kwaamba Bashite hawezi kuwa mhamasishaji wa suala lolote ? zaidi ya kuwa ni boredom creater? Wenye vyeti feki wenzie wamefukuzwa kazi yeye kabaki haoni kuwa ni kisababishi kikubwa cha hisia za chuki za jambo loloteambalo atalibebea kibendela?
Jamani mbona mambo mengine ni raahisi mno kuyadadavua? Kama hili la Bashite
Sasa nasema hivi, Stars itarudi nyumbani bila point, na ilienda AFCON kwa hisani ya Uganda kwani katika mechi ya mwisho Uganda iliisha weka kibindoni point 13 na Stars ilikuwa na 5 basi The CRANE wakawa hawana shida yoyote na hiyo mechi wakaona hawana haja ya kuvunjika miguu waka-relax.
Stars hawakuenda AFCON kutokana na uhamasishaji wa Bashite lahasha bali ni kwa hisani tu ya Uganda
Nafikiri TFF wanalakujifunza hapa kutokana na uhamasishaji wa huyo mtu.
Kwa kumtuma huyo Bashite eti sijui akafanye nini huko Misri kwenye mashindano ya AFCON ndo karoga timu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, huyo Bashite ndiye anayeenda kuitia timu uvivu mwili mzima na kale kanguvu ka kupambana na Kenya kataisha. Jiwe ni scintist phylosopher anashindwa kuelewa kwaamba Bashite hawezi kuwa mhamasishaji wa suala lolote ? zaidi ya kuwa ni boredom creater? Wenye vyeti feki wenzie wamefukuzwa kazi yeye kabaki haoni kuwa ni kisababishi kikubwa cha hisia za chuki za jambo loloteambalo atalibebea kibendela?
Jamani mbona mambo mengine ni raahisi mno kuyadadavua? Kama hili la Bashite
Sasa nasema hivi, Stars itarudi nyumbani bila point, na ilienda AFCON kwa hisani ya Uganda kwani katika mechi ya mwisho Uganda iliisha weka kibindoni point 13 na Stars ilikuwa na 5 basi The CRANE wakawa hawana shida yoyote na hiyo mechi wakaona hawana haja ya kuvunjika miguu waka-relax.
Stars hawakuenda AFCON kutokana na uhamasishaji wa Bashite lahasha bali ni kwa hisani tu ya Uganda
Nafikiri TFF wanalakujifunza hapa kutokana na uhamasishaji wa huyo mtu.