Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 851
- 1,887
Yanga wametua mchana huu kutoka Tunisia kupitia Dubai na wanatarajia kwenda Mwanza leo saa moja usiku tayari kwa mchezo wa Jumapili dhidi ya Kagera Sugar.
Wachezaji wote wamerudi isipokuwa Aziz Ki ambaye hadi kocha Nabi anamalizia msafara wao hakuonekana na kuibua shangwe za mashabiki wakihoji mchezaji huyo yupo wapi?
Aziz Ki amefungiwa mechi tatu na faini laki tano kwa kosa kutosalimiana na wachezaji wenzake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Simba uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
TFF tunaomba mmliangalie hili suala la wachezaji kutopumzika na wanarudi mnawaunganishia mechi zingine, wakati mwaka jana kuna timu ilikuwa na viporo hadi saba vilifika.
Lengo yawezekana ni kuidhoofisha Yanga na kushindwa kuendelea na 'unbeaten' zake.
Wachezaji wote wamerudi isipokuwa Aziz Ki ambaye hadi kocha Nabi anamalizia msafara wao hakuonekana na kuibua shangwe za mashabiki wakihoji mchezaji huyo yupo wapi?
Aziz Ki amefungiwa mechi tatu na faini laki tano kwa kosa kutosalimiana na wachezaji wenzake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Simba uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
TFF tunaomba mmliangalie hili suala la wachezaji kutopumzika na wanarudi mnawaunganishia mechi zingine, wakati mwaka jana kuna timu ilikuwa na viporo hadi saba vilifika.
Lengo yawezekana ni kuidhoofisha Yanga na kushindwa kuendelea na 'unbeaten' zake.