wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 167
Nasema hivyo itakuwaje muandae Kagame Cup aka bonanza la Musonye ilihali muandaaji atafute wadhamini mnashindwa kutafuta watu wa kuwasaidia kulipa ushuru?
Kwanza huo uwanja wa kaitaba ni uwanja wa ukoo wa malinzi au mnaleta mambo ya kisiasa.na mdio mnaitwa TANZANIA FITINA FEDERESHENI (TFF)
Kwanza huo uwanja wa kaitaba ni uwanja wa ukoo wa malinzi au mnaleta mambo ya kisiasa.na mdio mnaitwa TANZANIA FITINA FEDERESHENI (TFF)