wewe umeona zile suti babu kubwa wanazovaa ? Utafikiri ni maseneta wa marekani.duhhhhnimemsikia rais wa tff akifafanua uamuzi wa kupeleka waraka kwa wajumbe kukubali au kukataa kufanya mabadiriko katika katiba yake eti ni ukosefu wa pesa. Ninasangaa kwa hilo kwani cecafa huleta mashindano yao hapa kwa gharama ya tff?