Hata tbs uwezo wao pia unatia mashaka Sana,najua Wana kazi nyingi na nzito ila wakaongezewa na Mambo ya vyakula daaah ndo kabisa,mbona ilikuwa haina haja hata ya kubadilisha TFDA,wangekuwa serious mbona wangefanikiwa tu,mitaani huku watu wanatumia bidhaa za vyakula ilimradi tu siku ipite ila kiuhalisia bidhaa nyingi hazina tija kiafya kwa kweli,Kama wataamua kuiweka peke yake mamlaka inayosimamia bidhaa za vyakula Basi wahakikishe kweli waonekane wamepania kufanya kazi la sivyo itakuwa ni porojo za kisiasa za kuhamishahamisha hovyo majukumu ya taasisi hii na kupeleka huko Mara kuvunja hiki ilimradi tu ionekane kashkash za uhamishaji usio na tija kwa taifa hili,Mimi binafsi sijawahi kuona kazi nzuri kihivyo katika usimamizi wa afya za walaji wa bidhaa za vyakula hasa hizi za viwandani hasa kutoka nje ya nchi...