Brodre JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,587 Reaction score 1,855 Jan 11, 2016 #1 Kumekua na taarifa kwamba kuna wachina wanauza vitu kwa bei nafuu kariakoo sababu wameambiwa waondoke je kuna ukweli?
Kumekua na taarifa kwamba kuna wachina wanauza vitu kwa bei nafuu kariakoo sababu wameambiwa waondoke je kuna ukweli?
Dragoon JF-Expert Member Joined Nov 24, 2013 Posts 7,012 Reaction score 8,146 Jan 11, 2016 #2 Dreson3 said: Kumekua na taarifa kwamba kuna wachina wanauza vitu kwa bei nafuu kariakoo sababu wameambiwa waondoke je kuna ukweli? Click to expand... Mimi sijasikia
Dreson3 said: Kumekua na taarifa kwamba kuna wachina wanauza vitu kwa bei nafuu kariakoo sababu wameambiwa waondoke je kuna ukweli? Click to expand... Mimi sijasikia
M mamiloo Member Joined Dec 28, 2015 Posts 12 Reaction score 1 Jan 11, 2016 #3 Nimetoka kkoo leo hakuna kitu kama hicho nimeona wachina wanaendelea na biashara zao kama kawaida
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 29,030 Reaction score 35,152 Jan 11, 2016 #4 Niuongo
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,451 Reaction score 50,182 Jan 11, 2016 #5 mamiloo said: Nimetoka kkoo leo hakuna kitu kama hicho nimeona wachina wanaendelea na biashara zao kama kawaida Click to expand... Sheria ya makosa ya mitandao iwashughulikie waliozusha huo uongo
mamiloo said: Nimetoka kkoo leo hakuna kitu kama hicho nimeona wachina wanaendelea na biashara zao kama kawaida Click to expand... Sheria ya makosa ya mitandao iwashughulikie waliozusha huo uongo
Brodre JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,587 Reaction score 1,855 Jan 11, 2016 Thread starter #6 marxlups said: Sheria ya makosa ya mitandao iwashughulikie waliozusha huo uongo Click to expand... hii msg ilisambaa toka jana
marxlups said: Sheria ya makosa ya mitandao iwashughulikie waliozusha huo uongo Click to expand... hii msg ilisambaa toka jana