Tetesi mishahara ya walimu

Tetesi mishahara ya walimu

kambuzi

New Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
4
Reaction score
1
Wana JF tupeane habari juu ya tetesi hiyo,aliyepata la ukweli atutupie na sisi wenzie.
 
nasikia wanataka kupunguza mishahara ya wlimu maana walimu ni Shamba la bibi
 
Nasikia imepunguzwa ili CCM wapate hela ya kampeni 2015
 
Nimesikia wanataka kutangaza kuwa ualimu ni sekta ya kujitolea
 
ata mie nimesikia tetesi kua walimu waliobadiri fani zao hawatatambulia ila elimu zao za awali ndo zitaendelea kulipiwa mishahara...pia kuna tetesi kua daraja B limefutwa rasmi so walimu wa vyeti kuanza na daraja la C na kuendelea kulingana na elimu husukia una increment daraja
 
nasikia wanataka kupunguza mishahara ya wlimu maana walimu ni shamba la bibi
hapa ndugu yangu si mahali pake! Kumbuka maadili ya ualimu yanakufundisha kuheshimu taaluma na hadhi ya walimu kuweka hapa jf mishahara ya walimu ni udhalilishaji wa kada hiyo. Wewe subili kwenye saraly slip yako. Umewahi kuambia mishahara ya askari humu jf. Tulia!
 
kujadili mishahara ya walimu hapa sio issue nzuri. Mbona msojadili mishahara ya rais, wakuu wa mikoa na wilaya ama usalama wa taifa. Acheni mambo hayo jadilini mambo ya msingi
 
hapa ndugu yangu si mahali pake! Kumbuka maadili ya ualimu yanakufundisha kuheshimu taaluma na hadhi ya walimu kuweka hapa jf mishahara ya walimu ni udhalilishaji wa kada hiyo. Wewe subili kwenye saraly slip yako. Umewahi kuambia mishahara ya askari humu jf. Tulia!

::::::::::🙂 Walimu ndio watumishi walio wengi kuliko wote TZ. Isitoshe, serikali inaangalia kwamba ni nani akidhulumiwa hato react haraka; wanagundua kwamba teacher ni " line of weakness" ... Hii serikali hujaijua vizuri mtuangu!.....!!!
 
Huu ni uvumi ambao tayari wahusika (AFISI YA RAIS MENEJIMENT YA UTUMISHI WA UMMA) washautolea ufafanuzi.
 
Hata wakishushiwa salary hawatareact,CCM haina haja na kura zao! Chama chao ndo hovyo kbs i.e Chama Cha Waoga Tanzania(CWT)
 
Back
Top Bottom