kokakola
Member
- Nov 25, 2015
- 30
- 17
Habari za muda huu wakuu. Kuna tetesi hapa kwamba vibarua walio katika kiwanda cha Pepsi kilichopo vingunguti jijini Dar es salaam wamegoma. Je ni kweli?. Mwenye taarifa tafadhari.
NOTE.
Hapa Cocacola kwanza Ltd ( Dar rs salaam ) na sisi siku na muda wowote tunakinukisha pia. Tunanyonywa sana vijana.
NOTE.
Hapa Cocacola kwanza Ltd ( Dar rs salaam ) na sisi siku na muda wowote tunakinukisha pia. Tunanyonywa sana vijana.