dungadunga
Member
- Jul 18, 2013
- 26
- 1
kuna jamaa yangu amenipa elfu themanini nikahesabu vizuri pesa ipo sawa. Kufika sehemu kukupara bia mbili nikahesabu nikahesabu nikakuta nina elfu sitini na tano. Sasa nashangaa ile kumi na tano imeenda wapi? Iyo baa nilipo sijapanda gata gari ni karibu na home