Boooongeee
Member
- Apr 4, 2012
- 19
- 3
Kwa mujibu wa taarifa niliyoisoma kwenye website moja ya azamfc.com ni kwamba raisi wa tff ambaye alitangaza kutogombea tena kwenye uchaguzi mkuu ujao wa tff ana jipanga kugombea CAF kushindana na Isa Hayatu,
Bonyeza hapa azamfc.com kwa taarifa zaidi.
Bonyeza hapa azamfc.com kwa taarifa zaidi.