TENDWA atatendwa tu...

john billy tendwa,msajili wa vyama vya siasa nchini,amegeuka mwanasiasa wa chama cha mapinduzi. Lakini,ipo siku atagundua kuwa ccm si chama cha siasa ili ni genge la waropokaji na wachumia tumbo. Watamtenda tu...
ni genge la wanyang'anyi!.
 

aiseee babaangu naunga mkono hoja
 
Tatizo hapa ni namna Tendwa alivyopata ajira. Haujawekwa utaratibu bora au wa kidemocrasia wa namna ya kumwajiri msajili wa vyama. Yeye ameajiriwa na serikali ya CCM na kaapa kwa Rais aliyeunda serikali ya CCM. Uteuzi au ajira yake si kama ya Jaji wa mahakama. His is very disposable! Hakuna utaratibu wa kumlinda kwa aliyempa ajira asimwachishe kazi kwa maslahi ya mwajiri. Anaweza kufukukuzwa kazi wakati wowote ule na wa kumfukuza kazi yeye mwenyewe anamjuwa. Hii inamfanya amwogope yule aliyemuweka pale. Hivyo katika hali fulanifulani lazima angalau aonekane kuwa anamtetea mwajiri wake. Na kwa sababu watanzania tumewekeza kwenye unafiki na ubinafsi na hasa unafiki basi Tendwa anajikuta busara zimemruka na kumtetea aliyemwajiri. Hii ni kwa sababu katika mizania yake anapima vitu viwili maslahi binafsi na maslahi ya umma. Kila mara anaona maslahi binafsi ni bora zaidi- kwani umma ni nani? Anajiuliza. Umma ni bora kuliko mimi na watoto wangu au familia yangu? Anajibu hapana! Ila kama kungekuwa na utaratibu mzuri wa kumpata msajili wa vyama pengine hayo yote yasingemkuta. Mfano Tendwa angeweza kuwa impartial kama kungekuwa Judicial Service Commission inafanya vetting,majina yanapelekwa kwa Rais halafu Rais anapeleka majina matatu Bungeni kupigiwa kura. Hii ingemfanya asiwe na sehemu ambayo angewajibika moja kwa moja. Bila hivyo tutaendelea kupiga kelele tu na hataweza kuwa neutral kwa sababu maslahi binafsi na ya yule aliyemwajiri yamewekwa mbele ya yale maslahi ya umma
 

Katika maelezo yako yote nimevutiwa na hapo nilipo bold....Hii nchi kwa rushwa ni bab kubwa....Yaani mzee huyo hakuweza kuwa wakili miaka yote hiyo ndiyo kawa juzi na huko kwenye uwakili hakuna umri maalumu wa mtu kukoma kuwa wakili?

Kinachogomba hapo jamani si kitu kingine pension tu...Tusiporekebisha hapo utashangaa hadi watu wanaotakiwa kupumzika muda wao ukifika wanact as if they are in their 30s umri ambao ndiyo unatakiwa kuwa main actor kwenye nyanja zote za Taifa!
 
Tendwa ni Feki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…