Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,144
Habar za muda huu wana jamvini, me leo nilikuwa naomba kuuliza eti ukifanya tendo la ndoa ni dawa, maana me siku nikiamka bila ya kupewa tamu(sex) na my wyf bas siku hiyo nikienda kazin nakuwa mnyonge, kisiran na nashindwa kufanya kaz kwa ufasaha na najisikia mzito sana ntapooza siku nzima, but siku ikitokea mke wangu akanipa tamu vizur bas nitaamka mchangamfu kupita siku zote na ntafanya kaz kwa ufanis mkubwa but mpaka leo sijaelewa kuwa tendo la ndoa ni dawa?