apply uende fm 5 kwanza c umemaliza 4.
okey...anzisha ata tution centre,ajira ngumu degree 2 wa2 wanaangaika ila komaa kila m2 ana bahati yake.best of lucky.
Mimi ni binti wa kitanzania,nina miaka 20,naishi Dar,nmemalza kidato cha nne na kupata div 3,natafuta kazi yoyote ya kujishikiza mpka september ntakapoenda chuo,i speak fluent english,nina ujuz na computer hasa ms word n excel,mi ni mchapakazi sana.
Owky thnk u vry mch
Mi nahitaji binti wa kazi
Thnk u 4 yo advice bt nataka niende chuo moja kwa moja