Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Wiki iliyopita January 2014 watalii fulani wawili huko Afrika Kusini walijifanya wajuaji na kumkorofisha tembo na tembo akalishambulia gari lao na kuliacha written off, huku akiwajeruhi hao watalii. Unfortunately, ilibidi tembo auwawe kwa risasi na game rangers kwa kuogopa kwamba anaweza kushambulia magari mengine. Angalia picha na video link hapo chini. Ukisoma comments utaona watu wengi wamekasirishwa na kitendo cha kumuua tembo huyo aliyechokozwa!
Elephant rolls car - Shock footage of latest Kruger incident | News24
Elephant rolls car - Shock footage of latest Kruger incident | News24