Tembea ujionee usingoje kuambiwa

Tembea ujionee usingoje kuambiwa

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
486563_141029382702700_848400059_n.jpg
 
Kumbe ndio maana nikimwambiaga my lovely one kuwa ana akili za kitoto huwa anachukia sana.
Ona sasa huyu mtoto anavyodanganywa.
 
Huyo dogo naye atakuwa ni wa zama zile. Madogo wa sasa hivi akibebwa namna hiyo lazima amshike mama yake kwenye nyonyo. Na hawezi akabebwa na kutulia namna hiyo wakati anaona yuko horizontal na hakuna movement.
 
Back
Top Bottom