tuwasaidie kivipi tuwakopeshe au?afu tena kwanini mnadharauliwa hivyo teku ni college au university mpaka boom lenu mnacheleweshewa?,karibuni UDSM tunaendelea kupiga kitabu bila wasiwasi
mnatumalizia hela sisi mafisadi, TEKU ndo chuo gani hicho jamani, hamkutakiwa kupewa hata shilingi moja....ngoja niingie ikuru mtasema na hicho chuo chenu cha elimu ya kichina.
mnatumalizia hela sisi mafisadi, teku ndo chuo gani hicho jamani, hamkutakiwa kupewa hata shilingi moja....ngoja niingie ikuru mtasema na hicho chuo chenu cha elimu ya kichina.
mnatumalizia hela
sisi mafisadi, TEKU ndo chuo gani hicho jamani, hamkutakiwa kupewa hata
shilingi moja....ngoja niingie ikuru mtasema na hicho chuo chenu cha
elimu ya kichina.
Salama salimini,na hawa ndo huwa na mbwembwe na nyodo mtaani kwa kutaka kila mtu ajue kuwa yeye ana kadegree ka chuo fulani tena wakati mwingine kanakuwa hakana hata tija mkuu.
mnatumalizia hela sisi mafisadi, TEKU ndo chuo gani hicho jamani, hamkutakiwa kupewa hata shilingi moja....ngoja niingie ikuru mtasema na hicho chuo chenu cha elimu ya kichina.