Kwa wale ambao wanajua mambo ya uchenjuaji madini hasa dhahabu, wanajua jinsi gani ambavyo technologia ya vat leaching ambavyo ilivyoshika kasi. Basi Uzi huu upo kushirikishana changamoto tunazozipata kwenye maeneo yetu ya kazi. Karibuni sana wadau
Kwa wale ambao wanajua mambo ya uchenjuaji madini hasa dhahabu, wanajua jinsi gani ambavyo technologia ya vat leaching ambavyo ilivyoshika kasi. Basi Uzi huu upo kushirikishana changamoto tunazozipata kwenye maeneo yetu ya kazi. Karibuni sana wadau
Changamoto kuu ni hizi kaka
1. Upatikanaji wa maozesho.
2. Upatikanaji wa cyanide na carbon.
3. Wizi katika kinu cha kutenganisha dhahabu na carbon pale Mwanza.
4. Mabadiliko ya bei kiholela.
5. Mazingira hatarishi ya kazi.
6.Ukosefu wa vifaa vya kujilinda.
7.Sera mbovu za sekta ya Madini
Changamoto kuu ni hizi kaka
1. Upatikanaji wa maozesho.
2. Upatikanaji wa cyanide na carbon.
3. Wizi katika kinu cha kutenganisha dhahabu na carbon pale Mwanza.
4. Mabadiliko ya bei kiholela.
5. Mazingira hatarishi ya kazi.
6.Ukosefu wa vifaa vya kujilinda.
7.Sera mbovu za sekta ya Madini
Hiyo namba 3 hainaga ujanja yaani ni lazma tu mwenye mzgo apgwe,
Hyo namba1 ili kukabiliana nayo ni mtu kua na mashine zake za kusaga mawe, kumiliki mashimo/maduara
Changamoto kuu ni hizi kaka
1. Upatikanaji wa maozesho.
2. Upatikanaji wa cyanide na carbon.
3. Wizi katika kinu cha kutenganisha dhahabu na carbon pale Mwanza.
4. Mabadiliko ya bei kiholela.
5. Mazingira hatarishi ya kazi.
6.Ukosefu wa vifaa vya kujilinda.
7.Sera mbovu za sekta ya Madini