Teknolojia Inavyotumika Kishirikina

Teknolojia Inavyotumika Kishirikina

Don jully

Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
50
Reaction score
66
Kumekuwa na matukio mengi yanayoendelea hivi karibuni na watu kwa kujua ama kutokujua wamekuwa wakitekeleza roho za kishirikina. Mathalani kumekuwa na wimbi la watu kurekodi matukio ya udhalilisha, aibu, uovu na hata mambo ya hovyo.

Siku hizi ni fashion kurekodi matukio maofisini, majumbani na hata kwenye hadhara na kuweka kwenye mitandao bila kujali matokeo yake ama kwa kutimiza adhma husika.

Siku hizi kama mtu akiwa na lengo au nia mbaya juu yako anaweza kusubiri ama kukutegea ufanye jambo lolote litakaloweza kutimiza malengo yake na kuweka group la WhatsApp na kusubiri matokeo yake.

Mwisho wa yote group lina watu wengi ambao wengine hawajui agenda ya aliyerekodi ni nini, wanajikuta wanapost kwenye mitandao mingine ya kijamii.

Boom! Watu wanasimamishwa kazi, kuachishwa kazi, kuchunguzwa, kudharauliwa, kukamatwa na mambo mengine mengi. Roho ya kishirikina imefanikiwa.
 
MITANDAO SIO SEHEMU SALAMA HASA YA KUWEKA TAARIFA BINAFSI, KUNA KESHO WAKUU
 
Kumekuwa na matukio mengi yanayoendelea hivi karibuni na watu kwa kujua ama kutokujua wamekuwa wakitekeleza roho za kishirikina. Mathalani kumekuwa na wimbi la watu kurekodi matukio ya udhalilisha, aibu, uovu na hata mambo ya hovyo.

Siku hizi ni fashion kurekodi matukio maofisini, majumbani na hata kwenye hadhara na kuweka kwenye mitandao bila kujali matokeo yake ama kwa kutimiza adhma husika.

Siku hizi kama mtu akiwa na lengo au nia mbaya juu yako anaweza kusubiri ama kukutegea ufanye jambo lolote litakaloweza kutimiza malengo yake na kuweka group la WhatsApp na kusubiri matokeo yake.

Mwisho wa yote group lina watu wengi ambao wengine hawajui agenda ya aliyerekodi ni nini, wanajikuta wanapost kwenye mitandao mingine ya kijamii.

Boom! Watu wanasimamishwa kazi, kuachishwa kazi, kuchunguzwa, kudharauliwa, kukamatwa na mambo mengine mengi. Roho ya kishirikina imefanikiwa.
Lakini street journalism imefanikiwa kuibua uovu mwingi ambao usingeweza kufikiwa na media rasmi ama kuna media kwa sababu mbalimbali wasingeripoti baadhi ya matukio.. Kila zuri halikosi kasoro lakini kwenye hilo la ushirikina nina maoni kidogo tofauti

Kuna maovu mengi yameibuliwa ama kushindwa kutekelezwa baada ya mipango yao kuvujishwa kwenye jamii kupitia street journalism.. Na mengine ni mambo hayo ya kishirikina! Sasa hapo uchawi umefeli ama umefaulu?
 
Umeangalia upande mmoja tu ila kuna faida pia asaiv kuna maovu mengi yanaibuliwa na kumewa atlist tunapunguza unyamyasaji majumbani, shuleni , na maofisini
 
Lakini street journalism imefanikiwa kuibua uovu mwingi ambao usingeweza kufikiwa na media rasmi ama kuna media kwa sababu mbalimbali wasingeripoti baadhi ya matukio.. Kila zuri halikosi kasoro lakini kwenye hilo la ushirikina nina maoni kidogo tofauti

Kuna maovu mengi yameibuliwa ama kushindwa kutekelezwa baada ya mipango yao kuvujishwa kwenye jamii kupitia street journalism.. Na mengine ni mambo hayo ya kishirikina! Sasa hapo uchawi umefeli ama umefaulu?
Ni kweli street journalism imefanikiwa kuibua maovu mengi, na pia kuna mambo mengi yenye vinasaba vya kishirikina yanaibuliwa na kushindwa kukamilika hivyo bado teknolojia ina uwanda mpana sana na kubeba lililo jema na baya. Ndio maana bado dhamira ya muhusika ndio itahesabiwa. Kuna anayerekodi kwa lengo la kuibua uovu hiyo ni sawa kuna anayerekodi kwa lengo la kumkomesha/kuharibia (mshirikina).

Mathalani, anayerekodi anaweza kuwa mtu ambaye naye hufanya kile anachorekodi isipokuwa amemrekodi aliyemlenga ili kumuharibia. Lengo lake ni kumuharibia aliyemrekodi anaweka kwenye magroup ya WhatApp baada ya pale anatokea mtu ambaye anaona kilichorekodiwa ni uovu yeye anapost platforms zingine ( huyu sasa mfichua uovu ). Mwisho wa yote mambo nanaenda viral na makusudio yanakuwa yamekamilika.

Dhamira itabeba dhana ya kitakachowasilishwa.

Hivyo teknolojia inaweza kutumika kwa namza zote. Dhamira nzuri (UTUKUFU) au dhamira mbaya (ushirikina).
 
Umeangalia upande mmoja tu ila kuna faida pia asaiv kuna maovu mengi yanaibuliwa na kumewa atlist tunapunguza unyamyasaji majumbani, shuleni , na maofisini
Ndio mkuu, japo kuna upande wa pili ambao wa mema.
 
Ni kweli street journalism imefanikiwa kuibua maovu mengi, na pia kuna mambo mengi yenye vinasaba vya kishirikina yanaibuliwa na kushindwa kukamilika hivyo bado teknolojia ina uwanda mpana sana na kubeba lililo jema na baya. Ndio maana bado dhamira ya muhusika ndio itahesabiwa. Kuna anayerekodi kwa lengo la kuibua uovu hiyo ni sawa kuna anayerekodi kwa lengo la kumkomesha/kuharibia (mshirikina).

Mathalani, anayerekodi anaweza kuwa mtu ambaye naye hufanya kile anachorekodi isipokuwa amemrekodi aliyemlenga ili kumuharibia. Lengo lake ni kumuharibia aliyemrekodi anaweka kwenye magroup ya WhatApp baada ya pale anatokea mtu ambaye anaona kilichorekodiwa ni uovu yeye anapost platforms zingine ( huyu sasa mfichua uovu ). Mwisho wa yote mambo nanaenda viral na makusudio yanakuwa yamekamilika.

Dhamira itabeba dhana ya kitakachowasilishwa.

Hivyo teknolojia inaweza kutumika kwa namza zote. Dhamira nzuri (UTUKUFU) au dhamira mbaya (ushirikina).
Dhamira itabeba dhana ya kitakachowasilishwa.

Hivyo teknolojia inaweza kutumika kwa namza zote. Dhamira nzuri (UTUKUFU) au dhamira mbaya (ushirikina).
 
Back
Top Bottom