Teknolojia hizi zimetushinda?

Teknolojia hizi zimetushinda?

kuhusu kutokuwa na mfumo wa fingerprint ktk vituo vyetu vya polisi lawama zote n kwa Lugumi na Kitwanga... hawa ndio wamehujumu ule mfumo
 
polisi watumie mbinu za kisasa ktk upelelez wao...

wanawabambikia watu kesi kwa ushahidi wa nadharia!
Ngoja litakapo anzishwa jeshi la polisi tz ili la policcm kituicho ni ndoto bado wanatumia mbinu za kupiga Ramli
 
Back
Top Bottom