wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
Matumizi ya vipimo vya DNA na fingerprint ni nadra sana kutumiwa na polisi ktk uchunguzi\ushahidi.
Tafakari...
Tafakari...
Vifaa vipo vya kutosha?tanzania bado sana kimaendeleo...
nchi inawasomi lkn wanashindwa kutumia usomi wao..
Vifaa vipo vya kutosha?
endapo teknolojia hizi zingetumika ktk ushahidi mahakamani, kesi nyingi zingeshughurikiwa mapema kwa muda mfupi..
Kwa hiyo mkuu hiyo DNA wanapimia tunguri ama ramli?kwaiyo hadi mtu aitwe profesa kunaitaji vifaa au elimu na ufaham?
je hao maprofesa na wenye phd wanamchango gani ktk maendeleo ya taifa? wengi ni vibaraka wa vyama na siasa...
hapo ndipo napo shanga kumuona mtuu kasoma na viuo mpaka india ila akili yake ipo pale pale utombo mtupu haina haja ya kusoma kama na walio soma wanashindwa kuwa muhimu katika jamii zetu. bure kabisa elimu tuzipewzo.tanzania bado sana kimaendeleo...
nchi inawasomi lkn wanashindwa kutumia usomi wao..
Hii nchi na viongozi wetu hawa ni shidaaapolice wa wetu technologia kama hizo hataki kuzitumia kwani itawapunguzia miaanya ya rushwa then angaliaa tu hizo tochi walizopewa matumizi yake wanajificha porini sehemu ambayo hakuna kibao cha kulimit speed then unaenda kusimamishiwa mbele unaambiwa ulikua unakimbia speed ya juu nionyeshe basi speed yangu anatoa karatasi anakuambia kwa mfano 75 sasa kwanini wasikae sehemu husika
Kwa hiyo mkuu hiyo DNA wanapimia tunguri ama ramli?
Good, hivyo vifaa vipo kote huko? Hata tuwe na maprof ndani ya jeshi la polisi hawawezi fanya hayo kama vifaa hakuna!!!inapaswa kila mkoa uwe na maabara ya dna na ofisi ya mkemia mkuu.
inapaswa kila kituo cha polisi cha wilaya kiwe na wataalam wa fingerprint na DNA\ au afisa atakayeshughurikia na kutoa taarifa.
inapaswa polisi watumie mbinu za kisayansi kupambana na uharifu.
inapaswa polisi wawe na taarifa za vidole, anuani, makazi ya watanzania waarifu wote.
inapaswa polisi wafanye uchunguzi wa Fingerprint na DNA kwa vidhiti wanavyokuta ktk uhalifu mkubwa kama mauaji, ujambaz ...
inapaswa polisi kushirikiana na NIDA, TEC, TRA, na taasisi zngne ktk kusort taarifa.
Kwa hiyo mkuu hiyo DNA wanapimia tunguri ama ramli?
mkuu.
pengne uchunguzi unafanywa kinadharia tu.
yapo matukio ya mauaji na ambayo vidhibiti vyenye ncha kali vinachukuliwa pasipo vipmo vya vidole...
yapo matukio ya ujambaz ambayo silaha ukamatwa lakini cdhan kama wana pima alama za vidole...
kama tatizo ni lugumi. mtu mmoja asicheleweshe shughuri za kipolipi na mahakama.