Teja na mchina

Mtanzanika

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
2,389
Reaction score
1,131
Mwizi flani teja alimpiga mtama
mchina.Mchina alipoanguka chini teja
akampora simu yake.
Mchina akaamua kumkimbiza huyo
mwizi,mwizi alipoona mchina hachoki
akaweka simu chini na akaendelea
kukimbia.
Mchina akachukua simu yake na
kuendelea kumkimbiza.Teja akamuuliza
"Oya 'jet li' mbona nuksi hivyo!....simu
yako nimekupa unataka nini tena?"
Mchina akajibu "Bado sijakupiga
mtama!"
 
da huyo mchna n noma, ka utoto vle anataka kurudishia
 
huyo Mchina lazima ana undugu na yule jamaa mwenye misemo ya mbayuwayu, ambaye kila uchao anapiga picha na watu wasio na tija kwa taifa letu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…