Tegeta tunawashukuru DAWASA kwa kutufungulia Maji

Tegeta tunawashukuru DAWASA kwa kutufungulia Maji

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,537
Tokea jana usiku wa Saa 4:37 tumeanza kupata Maji na hadi sasa hali ni nzuri na inatia moyo

Mungu wa mbinguni awabariki
 
Unaongelea tegeta gani?Na kwanini una generalise na sio kuwa specific na mahali unapo ishi wewe maana huku kwengine hamna tofauti yoyote.
 
Tokea jana usiku wa Saa 4:37 tumeanza kupata Maji na hadi sasa hali ni nzuri na inatia moyo

Mungu wa mbinguni awabariki
Ni haki yenu u are paying for it asikusikie bashiru hapendi kabisa
 
Kwani bure? Kwanza inabidi uwashtaki wapo against vision yao.

Vision: To provide quality, reliable and affordable water and sewerage service exceeding customer expectation.
 
Back
Top Bottom